iqna

IQNA

sala ya alfarjiri
Palestina
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina waliswali Sala ya jamaa ya Fajr (alfajiri) katika Msikiti wa Al-Aqsa ulio kaitka mji unaokaliwa kwa mabavu na Israel wa al-Quds (Jerusalem) siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3475757    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09